1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.11.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S10 Novemba 2017

Rais wa Ufaransa Emanuel Macron amekutana na mwanamfalme wa Saudi Arabia mjini Riyadh katika kile kilichoonekana kuwa ziara ya ghafla nchini humo// Rais wa Marekani Donald Trump amewaeleza viongozi wanaoshiriki katika mkutano wa kilele wa ushirikiano wa kiuchumi wa nchi za Asia na Pasifiki, APEC, kuwa Marekani imepata matatizo katika mikataba iliyopita na sasa itachukua mwelekeo mwingine.

https://p.dw.com/p/2nPEn