1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.12.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S10 Desemba 2019

Umati wa waombolezaji umejitokeza katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kuuaga mwili wa mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania Ali Mufuruki// Tume ya Haki za Binadamu nchini Kenya limetoa ripoti lilikishutumu bunge la Kenya kuzuia kutendeka kwa haki kwa wahanga wa ghasia za baada ya uchaguzi za mwaka 2007/2008// Urusi na Ukraine wakubaliana kusitisha mapigano.

https://p.dw.com/p/3UXcb