1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.10.2019 Matangazo Ya Jioni

SK2 / S02S11 Oktoba 2019

Wakaazi wa Ethiopia wanazungumzia furaha na fakhari yao kwa waziri mkuu wao Abiy Ahmed kutunukiwa tuzo ya amani ya Nobel//Miili ya Mariam Kigenda na mwanawe Amanda Mutheu wa miaka minne hatimaye imetolewa ndani ya kivuko cha likoni,Kenya baada ya gari lao kuzama mnamo Septemba 29

https://p.dw.com/p/3R9oN