Wananchi wa Zanzibar wanaadhimisha miaka 57 tangu kufanyika kwa Mapinduzi/ Visiwa vya Comoro: Kusambaa kwa virusi vipya vya corona/ Ujumbe wa Shirika la Afya Duniani hatimaye utawasili nchini China kufanya uchunguzi wa kutafuta kujua chanzo cha kuzuka virusi vya corona