Utawala mpya wa kijeshi nchini Sudan umesema utaanzisha majadiliano ya wazi na makundi yote ya kisiasa katika harakati za kuunda serikali ya kiraia// Serikali ya Burundi imekutana na mabalozi wanaoziwakilisha nchi na mashirika ya kimataifa nchini humo// Imebainika kuwa Baraza la Siri la Usalama nchini Ujerumani limeruhusu silaha zisafirishwe hadi katika nchi zinazopigana vita nchini Yemen.