Amnesty International: Burundi ishughulikie haki za binadamu/ Raia wa Chad wanasema wamechoshwa na utawala wa Rais Deby huku Ufaransa ikiwageuzia mgongo/ Wakati dunia ikiadhimisha siku ya vijana leo, huko nchini Tanzania kundi hilo linatajwa kutotumia vizuri ulingo wa siasa katika kutatua changamoto zinazowakabili.