1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.11.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S12 Novemba 2019

Kiongozi wa wanamgambo wa itikadi kali wa kiislamu Bahaa Abu el-Atta ameuwa baada ya Israel kufanya mashambulizi ya anga/ Uturuki yaanza kuwarejesha makwao wapiganaji wa kigeni wa kundi la IS/ Tanzania yatetea malalamiko ya ukiukwaji wa haki za binadamu/ Mpinzani mashuhuri nchini Rwanda, Victoire Ingabire ameunda chama kipya/ Mauwaji Mayimoya na maandamano ya wakaazi kuomba Monusco kuondoka

https://p.dw.com/p/3Ss3M