Afrika: Kodi za matumizi ya mitandao sio tu kujipatia fedha, bali pia kuweka udhibiti/ Ujerumani: Ulinzi wa mazingira umekwama wakati utoaji wa gesi chafu ukipanda tena/ Wayahudi barani Ulaya wanaamini kwamba chuki dhidi yao imezidi/ Kenya imeipita Afrika Kusini kama nchi inayosafirisha nje maparachichi mengi zaidi/ Thelma Mwadzaya alikutana na binti wa miaka 18 ambaye alikeketwa