1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.05.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S13 Mei 2021

Ongezeko la machafuko kati ya Israel na Palestina limeiweka kwenye hali ya mshangao serikali ya rais Joe Biden wa Marekani// Kiwango kisicho cha kawaida cha ukame katika nchi nyingi za afrika kimewaacha wataalam na mashirika ya misaada katika wasiwasi mkubwa wa kitisho cha baa la njaa// Nchi nyingi masikini bado zinahangaika ili kupata dozi za chanjo za covid-19.

https://p.dw.com/p/3tKz1