1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.08.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S13 Agosti 2019

Mzozo kati ya Canada na China umesalia kuwa maumivu ya kichwa yasiyokwisha kwa waziri mkuu mliberali Justin Trudeau// Mataifa kote ulimwenguni yanatatizika na jinsi ya kuwachukulia raia wake waliosafiri kujiunga na kundi la dola la kiislamu na kurejea katika mataifa hayo// Ukipata ujauzito, hauwezi kurudi shule tena- Sheria ya Elimu nchini Tanzania.

https://p.dw.com/p/3Nogr