1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.09.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S13 Septemba 2019

Familia ya rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe imekubali kiongozi huyo azikwe kwenye makaburi ya mashujaa wa kitaifa mjini Harare// Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa limerejelea tena wito wake kutaka usitishwaji wa mapigano nchini Libya// Viongozi wa kidini katika jamuhuri ya Kidemokrasi ya Kongo wameanzisha kampeni mpya ya kuwahamasisha raia dhidi ya ugonjwa wa Ebola.

https://p.dw.com/p/3PXXe