Wabunge nchini Uingereza hapo jana walilaazimisha kura ya imani dhidi ya waziri mkuu Theresa May// Serikali ya Tanzania imesema itaendelea kushirikiana na viongozi wa kimila wa kimasai Malaigwanan katika kupiga vita ukeketaji na kuhakikisha mila hiyo potofu inaondoka katika jamii hiyo