Bunge la Uingereza wiki hii linatarajiwa kufanya mjadala kuhusu mchakato wa Uingereza kujiondoa kwenye Umoja wa Ulaya// Nigeria inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu wa rais mwishoni mwa wiki hii, tarehe 16.02.2019// DRC ni miongoni mwa nchi zilizoathirika na uhaba pamoja na kupanda kwa bei ya vyakula duniani kulingana na ripoti ya kila mwaka ya shirika la FAO.