Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesifu mkutano wa mjini Warsaw unaohudhuriwa na mataifa ya kiarabu// USA -Baraza la wawakilishi limeidhinisha jana Jumatano azimio ambalo litafikisha mwisho uungaji mkono wa Marekani kwa muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita nchini Yemen// Zaidi ya raia 500 wa Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo wamewasili Uganda wakikimbia mapigano.