Wanajeshi wanne wa Japan na wafanyakazi saba wa kiwanda cha nyuklia cha Fukushima Daichi wamejeruhiwa kufuatia mripuko uliotokea leo asubuhi katika kiwanda hicho
Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak atakutana leo Jumatano na Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz.
Ujumbe wa viongozi kutoka Korea Kaskazini ukiongozwa na Waziri wa biashara wameelekea nchini Iran katika ziara ya nadra baina ya viongozi wa mataifa hayo mawili.
Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ametangaza kuwa ofisi ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu itaanza tena kufanya kazi nchini humo.