1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.06.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S14 Juni 2019

Rais Donald Trump wa Marekani anasema mashambulio dhidi ya meli mbili za mafuta katika bahari ya Oman katika Ghuba la uajemi,"yana mhuri wa Iran"//Ujerumani na Ufaransa zimekuwa timu za kwanza kufuzu hatua ya 16 bora baada ya timu hizo mbili kushinda michezo miwili ya kwanza katika mashindano ya kombe la dunia kwa wanawake

https://p.dw.com/p/3KUA7