1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.08.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S14 Agosti 2019

Rais Ramaphosa wa Afrika Kusini, leo anaanza ziara ya siku mbili nchini Tanzania/ Jumuiya ya afrika mashariki imekanusha taarifa zilizochapishwa kwenye gazeti la wiki "The East African" linalochapishwa nchini Kenya, zikileza kwamba jumuiya hiyo inapitia kipindi kigumu cha uchumi/ Wazazi watalazimika kulipia vyeti vya kuzaliwa vya watoto wao baada ya mchakato wa kuvipata bila malipo kufikia kikomo.

https://p.dw.com/p/3NrsU