1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.12.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S14 Desemba 2018

Mvutano wa chini chini unaozidi kupanuka baina ya mataifa jirani ya Afrika Mashariki Rwanda, Burundi na Uganda, unaelezwa kuwa huenda ukaleta athari kubwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki// Wapendwa Waingereza, Kwa kweli mnao muda wa kutosha kwa yote haya? Mambo yalivyo hivi sasa mtaondolewa kutoka Umoja wa Ulaya bila ya kupata makubaliano katika muda wa wiki kadhaa.

https://p.dw.com/p/3A5ed