1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.12.2018 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S14 Desemba 2018

Mjumbe wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa leo amekutana na familia za askari wa Tanzania waliouwa katika operesheni ya amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo// Kamati ya Baraza la Seneti la Marekani inayoshughulika na mambo ya nje imemuandikia barua Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo kuelezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kisiasa nchini Tanzania.

https://p.dw.com/p/3A9BX