Marekani iko tayari kujibu mashambulizi yaliyofanywa Saudia/ Mgombea wa upinzani aongoza matokeo ya uchaguzi Tunisia/ Mawakili wa aliekuwa waziri wa afya katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamelalamikia hatua ya kutoruhusiwa kukutana na mteja wao/ Viongozi wa dini ya kiislamu na kiyahudi wakutana Italia