Covid-19: Merkel akutana na magavana wa majimbo 16 ili kutathmini athari za kufungwa kwa baadhi ya shughuli nchini Ujerumani/ Obassanjo yuko njiani kuelekea Ethiopia kwa ajili ya kuanza mazungumzo ya usuluhishi/ Kenya: Shule zote zitafunguliwa kikamilifu tarehe 4 Januari mwakani/ Mo Ibrahim: Afrika yapiga hatua katika utawala bora