1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.11.2019 Taarifa ya habari asubuhi

Bruce Amani
17 Novemba 2019

Maelfu ya watu wafanya maandamano makubwa ya kuipinga serikali ya Jamhuri ya Czech // Umoja wa Mataifa waonya kuwa machafuko nchini Bolivia huenda yakafikia kiwango cha kutodhibitiwa // Na waandamanaji Iran wakabiliana na polisi kupinga hatua ya serikali kuongeza bei za mafuta

https://p.dw.com/p/3TAnx