Ujerumani iko tayari kuyalinda maadili ya msingi katika mzozo kati ya Urusi na Ukraine hata kama itamaanisha kulipa gharama kubwa ya kiuchumi/ Wamarekani na ulimwengu unamkumbuka mwanaharakati Mmarekani mweusi Martin Luther King Jr./ Tanzania: Wananchi walalamika kukosa bidhaa muhimu/ Mali yataka kupitia upya makubaliano ya ulinzi na Ufaransa