1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.02.2020 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S18 Februari 2021

Nchini Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, mshindi wa tuzo ya amani ya Nobel ya mwaka 2018 Daktari Denis Mukwege anaeleza masikitiko yake kutokana na kuibuka tena kwa ugonjwa wa Ebola huko Butembo mashariki mwa nchi hiyo// Hatua ya serikali ya Uganda kusitisha elimu ya chekechea kwa muda usiojulikana imeibua mjadala miongoni mwa wananchi iwapo utawala huo unathamini ngazi hiyo ya elimu.

https://p.dw.com/p/3pWFf