Wabunge kadhaa nchini Kenya sasa wanataka mali ya Naibu Rais William Ruto ifanyiwe ukaguzi kabla ya uchaguzi mkuu ujao// Uamuzi kutolewa na Mahakama ya juu kabisa nchini Uganda kuhusu suala la kikomo cha umri wa kugombea urais// Baraza la mpito la kijeshi nchini Sudan limetakiwa kutekeleza jukumu lake katika masuala ya haki za binadamu na sheria.