1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.05.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S18 Mei 2020

Maambukizi ya corona yafikia milioni 4.7 ulimwenguni/ Rais Magufuli amesema idadi ya maambukizi ya virusi vya corona imepungua sana nchini humo> Mahojiano/ Watu walionusurika mauaji ya kimbari nchini Rwanda wameziomba ngazi za sheria za Ufaransa kumrejesha Rwanda, Felician Kabuga mshukiwa mkuu wa mauaji ya kimbari ya Rwanda aliyekamatwa Ufaransa/ Hatimaye serikali ya mseto yatangazwa Israel

https://p.dw.com/p/3cOm7