Iran imeitumia Marekani ujumbe wa kidiplomasia wa kukana kuhusika na mashambulizi kwenye vituo vya mafuta vya nchini Saudi Arabia, huku ikionya kwamba itajibu hatua yoyote dhidi yake/ Afghanistan: Wanamgambo wa kundi la Taliban wamewaonya wafanyakazi katika sekta ya elimu dhidi ya kushiriki katika uchaguzi wa urais/ Asasi za kiraia zatakiwa kutoa zaidi elimu ya kura kwa wananchi