1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

18.09.2020 Taarifa ya habari asubuhi

Bruce Amani
18 Septemba 2020

Rais wa Belarus aliweka jeshi kwenye hali ya tahadhari na kuimarisha ulinzi wa mpakani // Timu ya Navalny yasema alipewa sumu kwenye hoteli alimokuwa na wala sio uwanja wa ndege // Na Waziri mkuu mpya wa Somalia ateuliwa huku makubaliano ya uchaguzi yakifikiwa

https://p.dw.com/p/3ieV0