1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.04.2017 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S19 Aprili 2017

Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May amesema kufanyika kwa uchaguzi wa mapema mnamo Juni 8 mwaka huu badala ya kusubiri mwaka 2020 kutabadili hali ya mambo wakati wa mchakato wa mazungumzo na Umoja wa Ulaya na uchaguzi wa ndani kwa wakati mmoja// Korea Kaskazini ndiyo kitisho hatari zaidi kwa amani na usalama katika kanda ya Asia Pacific.

https://p.dw.com/p/2bUzI