1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.08.2020 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S19 Agosti 2020

Rais wa Mali ajiuzulu baada ya kukamatwa na wanajeshi waasi/ Hatua ya hivi karibuni ya Umoja wa Falme za Kiarabu UAE kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel imeutikisa ukanda wa Mashariki ya Kati, ikitajwa na Iran kuwa “kosa kubwa”/ Maandamano yanayoendelea nchini Beirut sio ya kwanza dhidi ya kiongozi wa kimabavu Lukashenko. Hata hivyo ni ya kwanza ambapo raia wengi wamejitokeza kuandamana

https://p.dw.com/p/3hAxE