1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

19.08.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S19 Agosti 2021

Uingereza imeonya kuwa makundi ya al-Qaeda huenda yakapata nafasi ya kujiimarisha tena+++Uturuki kuwa mpatanishi kati ya Ethiopia na Sudan+++Mahakama kuu nchini Kenya imesitisha kwa muda marufuku ya mikutano ya kisiasa kama njia ya kuzuwia corona kusambaa+++Wanamgambo wenye itikadi kali za dini ya Kiislamu wamedaiwa kuua watu 47 nchini Burkina Faso.

https://p.dw.com/p/3zAMd