Wizara ya Usalama wa Kitaifa imetajwa kuwa fisadi zaidi nchini Kenya kwa mujibu wa ripoti ya Tume ya Kitaifa ya Maadili na Kupambana na Ufisadi nchini humo/ Berlin: Mkutano wa kilele wa uwekezaji wa nchi zilizoendelea kiviwanda ulioangazia wafanya biashara wa Kijerumani wanaowekeza katika nchi za Afrika/ Kongo: Bajeti ya kwanza ya serikali ya rais Tshisekedi imesomwa bungeni leo