1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.01.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S20 Januari 2021

Trump aondokaa rasmi ikulu kwa mara ya mwisho kama rais/ Wachambuzi: Marekani iko katika hali ya mgogoro kiuchumi na hata kitamaduni. Joe Biden ameshinda uchaguzi wa rais kwa sababu anaonekana kujali/ Tanzania: Wanasiasa wa upinzani wameikaribisha hatua ya Marekani ya kuwaweka vikwazovya visa/ Uganda: Idadi ndogo sana ya wapiga kura imejitokeza kuwachagua viongozi wa serikali za mitaa

https://p.dw.com/p/3oBjT