1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.03.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S20 Machi 2019

Mzozo wa kisiasa uliokikumba chama cha Upinzani nchini Tanzania cha CUF > Mahojiano na Zitto Kabwe/ Jeshi la Algeria limetangaza kuwa wananchi wa nchi hiyo wameelezea ''malengo mazuri'' wakati wa wiki kadhaa za maandamano dhidi ya Rais Bouteflika/ Mahakama ya UN yamfunga Radovan Karadzic maisha/ May awasilisha ombi kwa EU kuurefusha mchakato wa Brexit

https://p.dw.com/p/3FNmH