1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.04.2018 Matangazo ya mchana

SK2 / S02S20 Aprili 2018

Balozi wa Uingereza katika Umoja wa Mataifa amesema Urusi na Syria zinapaswa kuzingatia ahadi waliyotoa ya kuwaruhusu wachunguzi wa silaha za kemikali kulitembelea eneo la Douma// Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amelifanyia marekebisho Baraza lake la mawaziri.

https://p.dw.com/p/2wOKj