1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.09.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S20 Septemba 2018

Mwanasiasa wa upinzani na msanii mashuhuri wa Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, amewasili Uganda akitokea Marekani alikokwenda kwa ajili ya kupatiwa matibabu// Mamlaka nchini Tanzania zinaendelea na msako mkali dhidi ya wamiliki wa mitandao ya kijamii ambayo haikusajiliwa kwa mujibu wa sheria na hadi sasa tayari wamiliki kadhaa wanashikiliwa na polisi wakihojiwa.

https://p.dw.com/p/35ED4