Rais Trump kumteuwa mwanamke kujaza nafasi ya Jaji Ruth Bader Ginsburg katika Mahakama ya Juu nchini Marekani // Wapiganaji 30 wa Taliban wauawa katika mashambulizi ya angani Agfhanistan // Na Ethiopia yamfungulia mashitaka ya ugaidi kiongozi maarufu wa upinzani Jawar Mohammed