Viongozi mbalimbali duniani wameendelea kutoa salamu zao za pongezi kwa rais mpya wa Marekani, Joe Biden// Maoni: Joe Biden ndiye Rais sahihi wa Marekani wakati huu// Visa vipya vya virusi vya corna vinavyojibadilisha vyazidi kuleta wasiwasi Ulaya//Congo imepiga hatua nzuri licha ya kuendelea kuwepo na makundi ya wapiganaji,amesema kiongozi wa Monusco,Leila Zerougui.