1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.02.2022 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S21 Januari 2022

Ujerumani imekataa kuungana na washirika wake Marekani na Uingereza katika swala la kuipelekea silaha Ukraine+++Uchumi wa Afghanistan umeporomoka na watu wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula+++Mapigano katika mkoa wa Tigray nchini Ethiopia, yamesababisha wakaazi wengi katika eneo la kaskazini mwa nchi hiyo kushindwa kufurahia maisha ya kila siku +++Algeria yashindwa kulitetea taji lake AFCON.

https://p.dw.com/p/45sW9