1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

21.07.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S21 Julai 2021

Tanzania: Kuna taarifa zinazosema kwamba viongozi kadhaa wa ngazi ya juu wa chama cha upinzani CHADEMA wamekamatwa na jeshi la polisi mkoani Mwanza/ Tanzania yasherehekea sikukuu ya Eid al-Adha leo/ Rais wa Zanzibar ameongoza waumini wa dini ya kiislam katika sala na baraza la Eid kisiwani Pemba/ Macron apatikana kwenye orodha ya udukuzi/ WHO yaunga mkono Michezo ya Olimpiki ya Tokyo

https://p.dw.com/p/3xmq9