Tanzania: Hali ya kisiasa kabla ya uchaguzi/ Bobi Wine ashinda kesi ya kutaka kukifuta chama chake/ Burundi: Mahakama ya juu imemhukumu kifungo cha maisha Meja Pierre Buyoya> Mahojiano/ Utafiti: Maelfu ya watoto wachanga, na hasa India na mataifa ya Afrika katika eneo la Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa mwaka 2019 wamekufa kutokana na uchafuzi wa hewa