Marekani na Urusi zajadili mkataba kuhusu zana za nyuklia/ Serikali ya mjini Tripoli yasema Misri imetangaza vita/ Congo: Kamerhe ametangaza kuwa atabaki katika muungano na rais Tshisekedi licha ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa tuhuma za ufisadi> Mahojiano/ Umoja wa Afrika umeisimamisha Sudan Kusini kutoshiriki kwenye vikao vyake mjini Addis Ababa