1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.07.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S22 Julai 2019

Waandamanaji wa Hong Kong washambuliwa na wahuni/ Mgogoro kati ya Iran na Uingereza unaendelea ambapo Theresa May ataongoza kikao cha dharura/ Tanzania: Rais Magufuli awaapisha mawaziri wapya/ Kenya: Mapendekezo ya kubadilisha katiba yanayopigiwa debe na chama cha Thirdways Alliance kwa jina Punguza Mizigo, yanazidi kuibua homa miongoni mwa wanasiasa

https://p.dw.com/p/3MXGG