1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.10.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S22 Oktoba 2020

Matumaini ya kumaliza umwagikaji damu uliodumu kwa muda sasa katika mzozo wa jimbo la Nagorno-Karabakh yanaendelea kudidimia// Mwanasiasa mkongwe wa Lebanon Saad al-Hariri ameteuliwa tena kama Waziri Mkuu wa nchi hiyo na kupewa jukumu la kuunda serikali mpya// Rais Donald Trump na hasimu wake kutoka chama cha Democratic Joe Biden watapambana tena leo katika mdahalo.

https://p.dw.com/p/3kIog