Davos: Kongamano la kimataifa la kiuchumi/ Tanzania: Magufuli amekutana kwa mara ya kwanza na viongozi wa madhehebu ya kidini/ Congo: Rais mteule Felix Tshisekedi, ametarajiwa kuapishwa kesho alhamisi mjini Kinshasa/ Papa Francic anawasili nchini Panama leo kwa kongamano la vijana waumini wa kanisa Katoliki