Corona: Tanzania na Zanzibar zavunja kimya chao/ Marekani yapoteza nusu milioni kwa COVID-19/ Serikali ya Kongo imelaani shambulizi lililofanyika na kusababisha kifo cha balozi wa Italia nchini humo na inaahidi kufanya uchunguzi wa kina/ Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya, zimeihimiza serikali ya Somalia na upinzani kukubaliana kuhusu tarehe ya uchaguzi