Mwanasheria maalum wa Marekani Robert Mueller amekamilisha uchunguzi wa Urusi kuingilia uchaguzi wa Marekani // Polisi Ujerumani imewakamata watu 11 wanaotuhumiwa kupanga "shambulizi la kigaidi" // Na vongozi wa Amerika Kusini wameunda jumuiya mpya ya kikanda