Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vyapandisha bei ya mafuta/ Tawheed Jamaat wanyoshewa kidole cha lawama Sri Lanka/ Uganda: Bobi Wine amewekwa chini ya kizuizi cha nyumbani/ Baraza la mpito Sudan kuunda serikali ya kiraia haraka/ Kenya: Rais Kenyatta na kiongozi wa chama cha upinzani Raila Odinga wanaelekea China kwenye kongamano linalohusika na miundo mbinu