1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.07.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S23 Julai 2020

Vyama vya upinzani nchini Tanzania vimekaribisha agizo la Rais John Magufuli la kuvitaka vyombo vya ulinzi kutotumia nguvu zaidi wakati wa uchaguzi mkuu// Kufutwa kazi kwa maafisa wanane wa ngazi za juu wa tume ya uchaguzi Uganda kumeibua mjadala mkali miongoni mwa wanasiasa nchini humo// Corona: Vipimo ni lazima ili kuingia Ujerumani// Uturuki yamtaka Haftar aondoke mji wa Sirte.

https://p.dw.com/p/3foJ2