1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.04.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S24 Aprili 2019

Algeria: Vijana wanakutikana mstari wa mbele katika vuguvugu la kudai mageuzi ya kina baada ya kung'olewa madarakani rais Bouteflika/ Kongo: Rais Tshisekedi anaendelea kukabiliwa na changamoto ya makundi ya waasi na wanamgambo katika eneo la mashariki / Zaidi ya wanafunzi 500 kutoka jimboni Marsabit nchini Kenya ,wamepewa mafunzo ya jinsi ya kuasi mila potofu ya ukeketaji

https://p.dw.com/p/3HLLB